Текст песни Harmonize — Kainama

image_pdfimage_print

Konde boy
They call Burna
It's Platnumz
Eh eh eh eh
Na you dey make me sit down dey sing this song (galagala)
You come dey make me feel like I do you wrong (Jagajaga)
If you want am I go give you more (Jara jara)

Today today, you go give me love (sawa sawa oh)
Eh eh
Nasifiwa kwa mapenzi na madem
Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Burna Boy, twaeka kila sehemu

Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Nasifiwa kwa mapenzi na madem
Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Konde Boy, twaeka kila sehemu

Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Adeka buru kwa mandera
Rudi kwa bibi kinondoni
Amber Lulu kunja dera

Mwanangu Gigi simuoni, aje!
Aah inama (Mama)
Aah inuka (Baby show them)
Aah inama (Hehehee)
Aah shika ukuta (Waonyeshe Ulivyofunzwa)
Aah inama (ah hii, go down baby)
Aah inuka (Give it to them baby)
Aah inama (Heeehe)
Aah shika ukuta

Ruksa Kutunza
Sio sura sio shepu
Mi nikimuona taabani
Hivi si Nuna, sepetu

Amanimuite jina gani?
Beiby gyal your body killer (wee)
Mwendo kama caterpillar
Miguu ya pombe tequila

She dey burst my mind
Ba mutu ba Congo Kabila
Madongo Lunyamila
And she so sweety, vanilla

She dey burst my mind (Oh oh oh)
Nobody sexy like my baby (Mmmmh)

Tena Mwepesi akiwa kwa bedii
Adeka buru kwa mandera
Rudi kwa bibi kinondoni
Amber Lulu kunja dera

Mwanangu Gigi simuoni, aje!
Aah inama (Mama)
Aah inuka (Baby show them)
Aah inama (Hehehee)
Aah shika ukuta (Waonyeshe Ulivyofunzwa)
Aad inama (ah hii, go down baby)
Aah inuka (Give it to them baby)
Aah inama (Heeehe)
Aah shika ukuta

Ruksa Kutunza
Oya Gyal dem
Toto nyau poli
Ana vimacho mlegezo gololi

Katika game, funga tu goli
Hatumalizagi mchezo ukae goli
Kilima kilima (Panda kilima)
Baby kilima (Chii)
Kisima kisima (mamba kisima)

Naingia kisima
Nizame mpaka chini (Oooh)
Ebu, yaani katoto kachafu kama bata (eeh)
Ah ah, nami nakafanya ndafu nakang'ata

Salamu ziende kwa wanjala
Doni, Masha, kitasa kwenye bunyeru
Waambie simba kacharara
Anataka msambwanda kwa buku jeru, aje
Aah inama (Mama)
Aah inuka (Baby show them)
Aah inama (Hehehee)
Aah shika ukuta (Waonyeshe Ulivyofunzwa)
Aah inama (ah hii, go down baby)
Aah inuka (Give it to them baby)
Aah inama (Heeehe)
Aah shika ukuta
Ruksa Kutunza
Nasifiwa kwa mapenzi na madem
Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Burna Boy, twaeka kila sehemu
Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Nasifiwa kwa, mapenzi na madem
Wanapagawa mpaka wananiita handsome
Simba, ma vision nitashame
Vile madem wao nawapita handsome

Оцените текст
( Пока оценок нет )

На данной странице вы найдете слова и текст песни Harmonize — Kainama. Здесь можно прочитать, а также скачать текст песни и распечатать его.

Поделитесь с друзьями
text-pesen.ru