Текст песни ALIKIBA — Mwana

image_pdfimage_print

Mali ni nyingi nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia
Mtoto peke yako nyumbani kipi kimekukimbiza
Ona babio mamio wote wanakulilia

Ndani ya Dar es Salaame Ulikuja bure
Tena kimwana kimwana hujui Kuchuna
Nazile lawama za wale waliokuzoweza
Ulikuja jana na leo tofauti sana…

Tena Bora yule wa Jana, wa leo tofauti sana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma
Tena Bora yule wa Jana, wa Jana leo wa Jana
Dakika mbili mbele nyuma kichwa kinauma

Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee
Omamee omamee omamee yaya mamee
Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee
Omamee omamee omamee yaya mamee

Ukaanza kulewa madawa kuvuta kwa sana
Ndani ya Dar es Salaam mambo mataam Hayakukuisha
We bado mtoto kwa mama hujayajua mengi
Mwenda tezi na omo marejeo ngamani

Amesema sana mama dunia tambara bovu
Kuna asali na shubiri, ujana giza na nuru
We mwana wewe mwana, mwana jeuri sana
Ulichokifuata huku pata, umekosa ulivyoacha

Kwa baba yako mwana, na mama yako mwana
Kwa vichache ulivyo vitaka, nivingi ulivyoacha

Mbona unjitesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee
Omamee omamee omamee yaya mamee
Mbona unawatesa sana
Omamee omamee omamee yaya mamee
Omamee omamee omamee yaya mamee

Right, Man Walter
Chiks vallo, combinenga
Pertio loso guitar

Unaleta lawama, wewe unaleta lawama
Unaleta lawama, wewe unaleta lawama
We mwana uwooo
Uchungu wa mwana aujuae mzazii
Siku zote milele
Analiaaa ooh
Kutwa nzima analalama iyee
Obaba mama yakoo
We mwana rudieee
Watafurahi wakikuona
Umerejea salamaa

Omamee omamee omamee yaya mamee
Omamee omamee omamee yaya mamee
Omamee omamee omamee yaya mamee
Omamee omamee omamee yaya mamee

Оцените текст
( Пока оценок нет )

На данной странице вы найдете слова и текст песни ALIKIBA — Mwana. Здесь можно прочитать, а также скачать текст песни и распечатать его.

Поделитесь с друзьями
text-pesen.ru